Skip to Content

"agripa"

6 mara katika SUV

Agripa akamwambia Paulo, Una ruhusa kusema maneno yako. Ndipo Paulo akanyosha mkono wake, akajitetea,

Najiona nafsi yangu kuwa na heri, Ee mfalme Agripa, kwa kuwa nitajitetea mbele yako leo, katika mambo yale yote niliyoshitakiwa na Wayahudi.

Kwa hiyo, Ee Mfalme Agripa, sikuyaasi yale maono ya mbinguni,

Mfalme Agripa, je! Wawaamini manabii? Najua ya kuwa wawaamini.

Agripa akamwambia Paulo, Kwa maneno machache wadhani kunifanya mimi kuwa Mkristo.

Agripa akamwambia Festo, Mtu huyo angeweza kufunguliwa, kama asingalitaka rufani kwa Kaisari.