Bwana akaisikia sauti ya maneno yenu, akaghadhibika, akaapa, akasema,
Bwana akaisikia sauti ya Eliya; na roho ya mtoto ikamrudia, akafufuka.
Katika shida yangu nalimwita Bwana, Na kumlalamikia Mungu wangu. Akaisikia sauti yangu hekaluni mwake, Kilio changu kikaingia masikioni mwake.