Skip to Content

"akajigeuza"

4 mara katika SUV

Na ikawa usiku wa manane yule mtu akasituka, akajigeuza; na kumbe! Yupo mwanamke amelala miguuni pake.

Basi Sauli akajigeuza, na kuvaa mavazi mengine, kisha akaenda, yeye na watu wawili pamoja naye, wakamfikilia yule mwanamke usiku; akasema, Tafadhali unibashirie kwa utambuzi, ukanipandishie yeye nitakayemtaja kwako.

Basi Hezekia akajigeuza, akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana akasema,

Basi Hezekia akajigeuza, akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana,