Skip to Content

"akakitwaa"

8 mara katika SUV

Ibrahimu akanyosha mkono wake, akakitwaa kisu ili amchinje mwanawe.

Naye Daudi akakitwaa kichwa chake yule Mfilisti na kukileta Yerusalemu; lakini silaha zake akaziweka hemani mwake.

Akasema, Kiokote. Basi akanyosha mkono, akakitwaa.

useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tai mkubwa, mwenye mabawa makubwa na manyoya marefu katika mabawa, mwenye kujaa manyoya, yaliyo ya rangi mbalimbali, alifika Lebanoni, akakitwaa kilele cha mwerezi;

Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, Nyweni nyote katika hiki;

Akakitwaa, akala mbele yao.

Na vivi hivi baada ya kula akakitwaa kikombe, akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu; fanyeni hivi kila mnywapo, kwa ukumbusho wangu.

Akaja, akakitwaa kile kitabu katika mkono wa kuume wake yeye aliyeketi juu ya kile kiti cha enzi.