Mungu akamkumbuka Raheli; Mungu akamsikia, akamfungua tumbo.
Mfalme alituma watu akamfungua, Mkuu wa watu akamwachia.
Bwana wa mtumwa yule akamhurumia, akamfungua, akamsamehe ile deni.
Akamfungua yule aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina na uuaji, yule waliyemtaka, akamtoa Yesu wamfanyie watakavyo.