Skip to Content

"akampitisha"

3 mara katika SUV

Ndipo Yese akamwita Abinadabu, akampitisha mbele ya Samweli. Naye akasema, Bwana hakumchagua huyu.

Ndipo Yese akampitisha Shama. Naye akasema, wala Bwana hakumchagua huyu.

Lakini aliiendea njia ya wafalme wa Israeli, hata akampitisha mwanawe motoni, sawasawa na machukizo ya mataifa Bwana aliowafukuza mbele ya wana wa Israeli.