Skip to Content

"akamruhusu"

2 mara katika SUV

Kisha Abneri akamwambia Daudi, Nitaondoka, niende zangu; nami nitamkusanyia bwana wangu mfalme Israeli wote, ili wafanye agano nawe, ukamiliki juu ya wote inaowatamani roho yako. Basi Daudi akamruhusu Abneri; naye akaenda zake kwa amani.

Wao wakanyamaza. Akamshika, akamponya, akamruhusu aende zake.