Mungu akamsikia Lea, naye akapata mimba, akamzalia Yakobo mwana wa tano.
Mungu akamkumbuka Raheli; Mungu akamsikia, akamfungua tumbo.
Na huyo mfalme wa Ashuru akamsikia; mfalme wa Ashuru akapanda juu ya Dameski, akautwaa, akawahamisha watu wake mateka mpaka Kiri, akamwua Resini.
Bwana akamsikia Hezekia, akawaponya watu.
Maana hakulidharau teso la mteswa, Wala hakuchukizwa nalo; Wala hakumficha uso wake, Bali alipomlilia akamsikia.
Basi Filipo akaenda mbio, akamsikia anasoma chuo cha nabii Isaya; akanena, Je! Yamekuelea haya unayosoma?