Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule kijana akapona tangu saa ile.
Yule pepo mchafu akamtia kifafa, akalia kwa sauti kuu, akamtoka.
Akalia, akamtia kifafa sana, akamtoka; naye akawa kama amekufa; hata wengi wakasema, Amekufa.
Akafanya hayo siku nyingi. Lakini Paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile.