Skip to Content

"akamwogopa"

4 mara katika SUV

Sauli akamwogopa Daudi, kwa sababu Bwana alikuwa pamoja naye, ila amemwacha Sauli.

Naye Daudi akayatia maneno hayo moyoni mwake, akamwogopa sana Akishi, mfalme wa Gathi.

Naye Daudi akamwogopa Bwana siku ile; akasema, Litanijiaje sanduku la Bwana?

Naye Daudi akamwogopa Mungu siku ile, akasema, Nitajileteaje sanduku la Mungu kwangu?