Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
Pelegi akaishi miaka thelathini, akamzaa Reu.
Adamu akamjua Hawa mkewe; naye akapata mimba, akamzaa Kaini, akasema, Nimepata mtoto mwanamume kwa Bwana.
Akaongeza akamzaa ndugu yake, Habili. Habili alikuwa mchunga kondoo, na Kaini alikuwa mkulima ardhi.
Kaini akamjua mkewe; naye akapata mimba, akamzaa Henoko; akajenga mji akauita Henoko, kwa jina la mwanawe.
Henoko akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli; Mehuyaeli akamzaa Methushaeli; Methushaeli akamzaa Lameki.
Ada akamzaa Yabali; huyo ndiye baba yao wakaao katika hema na kufuga wanyama.
Sila naye akamzaa Tubal-kaini, mfua kila chombo cha kukatia, cha shaba na cha chuma; na umbu lake Tubal-kaini alikuwa Naama.
Sethi akaishi miaka mia na mitano, akamzaa Enoshi.
Enoshi akaishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Kenani akaishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Mahalaleli akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
Yaredi akaishi miaka mia na sitini na miwili, akamzaa Henoko.
Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
Methusela akaishi miaka mia na themanini na saba, akamzaa Lameki.
Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
Arfaksadi akamzaa Sela, Sela akamzaa Eberi.
Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera,
Hivi ndivyo vizazi vya Shemu; Shemu alikuwa mtu wa miaka mia akamzaa Arfaksadi miaka miwili baada ya gharika.
Arfaksadi akaishi miaka thelathini na mitano, akamzaa Sela.
Sela akaishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.
Eberi akaishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
Reu akaishi miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi.
Serugi akaishi miaka thelathini, akamzaa Nahori.
Nahori akaishi miaka ishirini na kenda, akamzaa Tera.
Tera akaishi miaka sabini, akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani.
Na hivi ndivyo vizazi vya Tera. Tera akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani. Harani akamzaa Lutu.
Bethueli akamzaa Rebeka; hao wanane Milka alimzalia Nahori ndugu wa Ibrahimu.
Yokshani akamzaa Sheba, na Dedani; na wana wa Dedani walikuwa Waashuri na Waletushi, na Waleumi.
Wana wa Manase; wa Makiri, jamaa ya Wamakiri; na Makiri akamzaa Gileadi; wa Gileadi, jamaa ya Wagileadi.
Basi huyo Yeftha, Mgileadi, alikuwa mtu shujaa sana, naye alikuwa ni mwana wa mwanamke kahaba; Gileadi akamzaa Yeftha.
Basi yule mwanamke akamzaa mtoto mwanamume akamwita jina lake Samsoni, mtoto huyu akakua, Bwana akambarikia.
na Hesroni akamzaa Ramu; na Ramu akamzaa Aminadabu;
na Aminadabu akamzaa Nashoni; na Nashoni akamzaa Salmoni;
na Salmoni akamzaa Boazi; na Boazi akamzaa Obedi;
na Obedi akamzaa Yese; na Yese akamzaa Daudi.
Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;
Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.
Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera;
Na wana wa Ketura, suria yake Ibrahimu; yeye akamzaa Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Shua. Na wana wa Yokshani; Sheba na Dedani.
Na Ibrahimu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli.
Na Ramu akamzaa Aminadabu; na Aminadabu akamzaa Nashoni, mkuu wa wana wa Yuda;
na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;
na Boazi akamzaa Obedi; na Obedi akamzaa Yese;
na Yese akamzaa Eliabu, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Abinadabu, na wa tatu Shama;
Na Abigaili akamzaa Amasa; na babaye Amasa ni Yetheri, Mwishmaeli.
Naye Huri akamzaa Uri; na Uri akamzaa Besaleli.
Na Segubu akamzaa Yairi, aliyekuwa mwenye miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
Na Atai akamzaa Nathani; na Nathani akamzaa Zabadi;
na Zabadi akamzaa Eflali; na Eflali akamzaa Obedi;
na Obedi akamzaa Yehu; na Yehu akamzaa Azaria;
na Azaria akamzaa Helesi; na Helesi akamzaa Eleasa
na Eleasa akamzaa Sismai; na Sismai akamzaa Shalumu;
na Shalumu akamzaa Yekamia; na Yekamia akamzaa Elishama.
Naye Shema akamzaa Rahamu, babaye Yorkeamu; na Rekemu akamzaa Shamai.
Naye Efa, suria yake Kalebu, alimzaa Harani, na Mosa, na Gazezi; naye Harani akamzaa Gazezi.
Tena akamzaa Shaafu, babaye Madmana; na Sheva babaye Makbena; na babaye Gibea; naye binti Kalebu alikuwa Aksa.
Na Reaya, mwana wa Shobali, akamzaa Yahathi; na Yahathi akawazaa Ahumai, na Lahadi. Hizo ndizo jamaa za Wasorathi.
Naye Kelubu, nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, aliyekuwa babaye Eshtoni.
Na Eshtoni akamzaa Beth-Rafa, na Pasea, na Tehina, babaye Ir-nahashi. Hao ni watu wa Reka.
Na Meonothai akamzaa Ofra; na Seraya akamzaa Yoabu, babaye bonde la Wakarashi; kwani hao walikuwa mafundi.
Eleazari akamzaa Finehasi; na Finehasi akamzaa Abishua;
na Abishua akamzaa Buki; na Buki akamzaa Uzi;
na Uzi akamzaa Zerahia; na Zerahia akamzaa Merayothi,
na Merayothi akamzaa Amaria; na Amaria akamzaa Ahitubu;
na Ahitubu akamzaa Sadoki; na Sadoki akamzaa Ahimaasi;
na Ahimaasi akamzaa Azaria; na Azaria akamzaa Yohana;
na Yohana akamzaa Azaria (ndiye huyo aliyefanya kazi ya ukuhani katika nyumba aliyoijenga Sulemani huko Yerusalemu)
na Azaria akamzaa Amaria; na Amaria akamzaa Ahitubu;
na Ahitubu akamzaa Sadoki; na Sadoki akamzaa Meshulamu;
na Meshulamu akamzaa Hilkia; na Hilkia akamzaa Azaria;
na Azaria akamzaa Seraya; na Seraya akamzaa Yehosadaki;
Na umbu lake, Hamolekethi, akamzaa Ish-hodu, na Abiezeri, na Mala.
Na Heberi akamzaa Yafleti, na Shomeri, na Hothamu, na umbu lao, Shua.
Naye Benyamini akamzaa Bela, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Ashbeli, na wa tatu Ahiramu;
na Naamani, na Ahoa, na Gera; aliwachukua mateka). Naye akamzaa Uza, na Ahihudi.
Na Miklothi akamzaa Shimea. Na hao nao walikuwa wakikaa pamoja na ndugu zao huko Yerusalemu, kuwakabili ndugu zao.
Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.
Na mwanawe Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika.
Na Ahazi akamzaa Yara; na Yara akamzaa Alemethi, na Azmawethi, na Zimri; na Zimri akamzaa Mosa;
na Mosa akamzaa Binea; na mwanawe huyo alikuwa Refaya, na mwanawe huyo ni Ekasa, na mwanawe huyo ni Aseli;
Na Miklothi akamzaa Shimea. Hao nao walikuwa wakikaa pamoja na ndugu zao huko Yerusalemu, kuwakabili ndugu zao.
Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali.
Na mwana wa Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika.
Na Ahazi akamzaa Yara; na Yara akamzaa Alemethi, na Azmawethi, na Zimri; na Zimri akamzaa Mosa;
na Mosa akamzaa Binea; na mwanawe huyo alikuwa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli;
Naye Yoshua akamzaa Yoyakimu, Yoyakimu akamzaa Eliashibu, Eliashibu akamzaa Yoyada,
Yoyada akamzaa Yohana, Yohana akamzaa Yadua.
Yese akamzaa mfalme Daudi.
Ibrahimu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;
Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;
Aramu akamzaa Aminadabu; Aminadabu akamzaa Nashoni; Nashoni akamzaa Salmoni;
Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;
Sulemani akamzaa Rehoboamu; Rehoboamu akamzaa Abiya; Abiya akamzaa Asa;
Asa akamzaa Yehoshafati; Yehoshafati akamzaa Yoramu; Yoramu akamzaa Uzia;
Uzia akamzaa Yothamu; Yothamu akamzaa Ahazi; Ahazi akamzaa Hezekia;
Hezekia akamzaa Manase; Manase akamzaa Amoni; Amoni akamzaa Yosia;
Yosia akamzaa Yekonia na ndugu zake, wakati wa ule uhamisho wa Babeli.
Na baada ya ule uhamisho wa Babeli, Yekonia akamzaa Shealtieli; Shealtieli akamzaa Zerubabeli;
Zerubabeli akamzaa Abihudi; Abihudi akamzaa Eliakimu; Eliakimu akamzaa Azori;
Azori akamzaa Sadoki; Sadoki akamzaa Akimu; Akimu akamzaa Eliudi;
Eliudi akamzaa Eleazari; Eleazari akamzaa Matani; Matani akamzaa Yakobo;
Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.
Akampa agano la tohara; basi Ibrahimu akamzaa Isaka, akamtahiri siku ya nane. Isaka akamzaa Yakobo. Yakobo akawazaa wale kumi na wawili, wazee wetu.