Skip to Content

"akangoja"

4 mara katika SUV

Akangoja na siku saba tena; kisha akamtoa yule njiwa katika safina mara ya pili,

Akangoja na siku saba tena, akamtoa yule njiwa; naye asimrudie tena kamwe.

Elkana, mumewe, akamwambia, Haya, fanya uonavyo vema; ngoja hata utakapomwachisha maziwa; Bwana na alithibitishe neno lake tu. Basi yule mwanamke akangoja, akamnyonyesha mtoto wake, hata akamwachisha maziwa.

Akangoja siku saba, kwa kadiri ya muhula uliowekwa na Samweli lakini Samweli hakuja Gilgali; na hao watu wakatawanyika mbali naye.