Naye alipotazama nyuma, akaniona, akaniita. Nikajibu, Mimi hapa.
Ndipo akaniita, akaniambia akisema, Tazama, wale waendao mpaka nchi ya kaskazini wameituliza roho yangu katika nchi ya kaskazini.
Lakini Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu, akaniita kwa neema yake,