Na mgeni atakapoketi pamoja nawe, na kupenda kumfanyia Bwana pasaka, waume wake wote na watahiriwe, ndipo hapo akaribie na kufanya pasaka; naye atakuwa mfano mmoja na mtu aliyezaliwa katika nchi; lakini mtu ye yote asiyetahiriwa asimle.
Basi kuhani atamleta mwanamke akaribie, na kumweka mbele za Bwana;
Na iwe, msongeapo mapiganoni, kuhani na akaribie na kusema na watu,