Akapanda juu ya kerubi akaruka; Naam, alionekana juu ya mabawa ya upepo.
Akapanda juu ya kerubi akaruka, Naam, aliruka upesi juu ya mabawa ya upepo.
Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu;
Akatupa vazi lake, akaruka, akamwendea Yesu.