Skip to Content

"akaruka"

4 mara katika SUV

Akapanda juu ya kerubi akaruka; Naam, alionekana juu ya mabawa ya upepo.

Akapanda juu ya kerubi akaruka, Naam, aliruka upesi juu ya mabawa ya upepo.

Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu;

Akatupa vazi lake, akaruka, akamwendea Yesu.