Skip to Content

"akawafundisha"

7 mara katika SUV

Basi Musa akauandika wimbo huu siku iyo hiyo, akawafundisha wana wa Israeli.

Basi mmoja wa makuhani waliochukuliwa kutoka Samaria akaenda akakaa katika Betheli, akawafundisha jinsi ilivyowapasa kumcha Bwana.

akafumbua kinywa chake, akawafundisha, akisema,

Na alipofika nchi yake, akawafundisha katika sinagogi lao, hata wakashangaa, wakasema, Huyu amepata wapi hekima hii na miujiza hii?

Akatoka tena, akaenda kando ya bahari, mkutano wote ukamwendea, akawafundisha.

Akaondoka huko akafika mipakani mwa Uyahudi, na ng'ambo ya Yordani; makutano mengi wakakutanika tena wakamwendea; akawafundisha tena kama alivyozoea.

Akaingia katika chombo kimoja, ndicho chake Simoni, akamtaka akipeleke mbali kidogo na pwani. Akaketi, akawafundisha makutano ali chomboni.