akawakataza wasimdhihirishe;
Akawakataza sana, wasimdhihirishe.
akawakataza wasichukue kitu cha njiani isipokuwa fimbo tu; wala mkate, wala mkoba, wala pesa za bindoni;
Wazazi wake wakastaajabu sana, lakini akawakataza wasimwambie mtu lililotukia.
Akawaonya, akawakataza wasimwambie mtu neno hilo;