Basi Bwana akawaletea Israeli tauni tangu asubuhi hata wakati ulioamriwa; nao wakafa watu toka Dani mpaka Beer-sheba sabini elfu.
Sifa za Daudi zikafika nchi zote; naye Bwana akawaletea mataifa yote hofu yake.
Basi Bwana akawaletea Israeli tauni; nao wakaanguka wa Israeli watu sabini elfu.