Akawaonya sana, mtu asijue habari ile; akaamuru apewe chakula.
Akawaonya wasimwambie mtu; lakini kadiri ya alivyozidi kuwaagiza, ndivyo walivyozidi kutangaza habari;
Akawaonya wasimwambie mtu habari zake.
Akawaonya, akawakataza wasimwambie mtu neno hilo;
Kishindo kile kilipokoma, Paulo akatuma kuwaita wanafunzi akawaonya, akaagana nao, kisha akaondoka aende zake mpaka Makedonia.