2 mara katika SUV
Na Yehoshafati akakaa Yerusalemu; akatoka tena kwenda kati ya watu toka Beer-sheba mpaka milima ya Efraimu, akawarudisha kwa Bwana, Mungu wa baba zao.
Akawapiga watesi wake akawarudisha nyuma, Akawatia aibu ya milele.