Bwana naye akawatapanya mbele ya Israeli, naye Israeli akawaua uuaji ulio mkuu hapo Gibeoni, akawafukuza waikimbilie hiyo njia ya kukwelea kwenda Beth-horoni, na kuwapiga hata kufikilia Azeka, tena hata kufikilia Makeda.
Akapiga mishale, akawatawanya; Umeme, naye akawatapanya.
Akaipiga mishale yake akawatawanya, Naam, umeme mwingi sana, akawatapanya.