Skip to Content

"akayafanya"

3 mara katika SUV

Basi Musa akasikiza neno la mkwewe, akayafanya yote aliyokuwa amemwambia.

Kisha akafanya makerubi mawili ya dhahabu; akayafanya ya kazi ya kufua, yawe katika miisho miwili ya kiti cha rehema;

Kisha akayafanya hayo mafuta matakatifu ya kutiwa, na ule uvumba safi wa viungo vya manukato vizuri, kwa kuandama kazi ya mtengezaji manukato.