2 mara katika SUV
Akaziendea dhambi zote za babaye, alizozifanya kabla yake; wala moyo wake haukuwa mkamilifu na Bwana, Mungu wake, kama moyo wa Daudi babaye.
bali akaziendea njia za wafalme wa Israeli, akawafanyizia mabaali sanamu za kusubu.