Aliyanena hayo akionyesha ni mauti gani atakayokufa.
Ili litimie lile neno lake Yesu alilolisema, akionyesha ni mauti gani atakayokufa.
Kwa maana aliwashinda Wayahudi kabisa kabisa mbele ya watu wote, akionyesha kwa maneno ya maandiko ya kuwa Yesu ni Kristo.
Roho Mtakatifu akionyesha neno hili, ya kwamba njia ya kupaingia patakatifu ilikuwa haijadhihirishwa bado, hapo hema ya kwanza ilipokuwa ingali ikisimama;