Skip to Content

"akubariki"

5 mara katika SUV

Kisha utampelekea baba yako, apate kula, ili akubariki kabla ya kufa kwake.

Na Mungu Mwenyezi, akubariki, akuzidishe, na kukuongeza, ili uwe mkutano wa makabila.

Uvunapo mavuno yako katika shamba lako, ukasahau mganda shambani, usirudi kuuchukua; na uwe wa mgeni, au yatima, au mjane; ili Bwana, Mungu wako, akubariki katika kazi yote ya mikono yako.

Na tazama, Boazi akaja kutoka Bethlehemu kawaamkia wavunaji, akasema, Bwana akae nanyi. Nao wakamwitikia, Bwana na akubariki.

Bwana akubariki toka Sayuni; Uone uheri wa Yerusalemu siku zote za maisha yako;