2 mara katika SUV
Bwana akawapiga hao watu, kwa walivyoifanya ile ndama, ambayo Haruni aliifanya.
Na katika kila kazi aliyoanza kwa utumishi wa nyumba ya Mungu, na kwa torati, na kwa amri, ili kumtafuta Mungu wake, aliifanya kwa moyo wake wote, akafanikiwa.