Skip to Content

"aliketi"

6 mara katika SUV

Basi Daudi akajificha shambani; na mwezi ulipoandama, mfalme aliketi kula chakula.

Mfalme aliketi kitini mwake kama sikuzote, katika kiti kilichokuwa karibu na ukuta; Yonathani alikuwa mbele yake; Abneri naye akaketi karibu na Sauli; lakini mahali pake Daudi palikuwa hapana mtu.

Basi kulipokuwa jioni aliketi chakulani pamoja na wale Thenashara.

Hata saa ilipofika aliketi chakulani, yeye na wale mitume pamoja naye.

Yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake, akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa kuume wa Ukuu huko juu;

Lakini huyu, alipokwisha kutoa kwa ajili ya dhambi dhabihu moja idumuyo hata milele, aliketi mkono wa kuume wa Mungu;