Sauli alipoona ya kwamba alitenda kwa busara sana, yeye alimwogopa.
Wala hakuweza kumjibu Abneri tena, kwa sababu alimwogopa.
Maana Herode alimwogopa Yohana; akimjua kuwa ni mtu wa haki, mtakatifu, akamlinda; na alipokwisha kumsikiliza alifadhaika sana; naye alikuwa akimsikiliza kwa furaha.