Skip to Content

"alipita"

5 mara katika SUV

Ndipo mtawaambia, Ni dhabihu ya pasaka ya Bwana, kwa kuwa alipita juu ya nyumba za wana wa Israeli huko Misri, hapo alipowapiga Wamisri, akaziokoa nyumba zetu. Hao watu wakainama vichwa na kusujudia.

Wakati ule Yesu alipita katika mashamba siku ya sabato; wanafunzi wake wakaona njaa, wakaanza kuvunja masuke, wakala.

aliposikia habari za Yesu, alipita katika mkutano kwa nyuma, akaligusa vazi lake;

Kwa nasibu kuhani mmoja alishuka kwa njia ile; na alipomwona alipita kando.

Naye alipoingia Yeriko alipita katikati yake.