2 mara katika SUV
Akapanda juu ya kerubi akaruka, Naam, aliruka upesi juu ya mabawa ya upepo.
Juu yake walisimama maserafi; kila mmoja alikuwa na mabawa sita; kwa mawili alifunika uso wake, na kwa mawili alifunika miguu yake, na kwa mawili aliruka.