Skip to Content

"alivyowaagiza"

5 mara katika SUV

Ndivyo walivyofanya wana wa Israeli wote; kama Bwana alivyowaagiza Musa na Haruni, ndivyo walivyofanya.

Mkutano wote wa wana wa Israeli ukasafiri, kutoka bara ya Sini kwa safari zao, kama Bwana alivyowaagiza, wakatua Refidimu; napo hapakuwa na maji, watu wanywe.

kunywa kulikuwa kama ilivyoamriwa, bila sharti; maana ndivyo mfalme alivyowaagiza watumishi-wa-nyumbani, kila mtu afanye apendavyo.

Wanafunzi wakafanya kama Yesu alivyowaagiza, wakaiandaa Pasaka.

Wakawaambia kama Yesu alivyowaagiza, nao wakawaruhusu.