Skip to Content

"aliwauliza"

3 mara katika SUV

Yesu aliwauliza, Mmeyafahamu hayo yote? Wakamwambia, Naam.

Na Mafarisayo walipokusanyika, Yesu aliwauliza, akisema, Mwaonaje katika habari za Kristo?

Na Herode alipomtafuta, asimwone, aliwauliza-uliza wale walinzi, akaamuru wauawe. Kisha akatelemkia kutoka Uyahudi kwenda Kaisaria, akakaa huko.