Humkumbuki Mwamba aliyekuzaa, Mungu aliyekuzaa umemsahau.
Msikilize baba yako aliyekuzaa, Wala usimdharau mama yako akiwa mzee.
Na wafurahi baba yako na mama yako; Na afurahi aliyekuzaa.
Ni nani huyu apandaye kutoka nyikani, Akimtegemea mpendwa wake? Nalikuamsha chini ya huo mpera; Huko mama yako alikuonea utungu, Aliona utungu aliyekuzaa.
Nami nitakutupa nje, wewe na mama yako aliyekuzaa, mwende nchi nyingine ambayo hamkuzaliwa huko, nanyi mtakufa huko.