Skip to Content

"aliyekuzaa"

5 mara katika SUV

Humkumbuki Mwamba aliyekuzaa, Mungu aliyekuzaa umemsahau.

Msikilize baba yako aliyekuzaa, Wala usimdharau mama yako akiwa mzee.

Na wafurahi baba yako na mama yako; Na afurahi aliyekuzaa.

Ni nani huyu apandaye kutoka nyikani, Akimtegemea mpendwa wake? Nalikuamsha chini ya huo mpera; Huko mama yako alikuonea utungu, Aliona utungu aliyekuzaa.

Nami nitakutupa nje, wewe na mama yako aliyekuzaa, mwende nchi nyingine ambayo hamkuzaliwa huko, nanyi mtakufa huko.