Mkuu wa gereza akawatia mkononi mwa Yusufu watu wote waliofungwa, waliomo gerezani; na yote yaliyofanyika humo ndiye aliyeyafanya.
Nao watawahubiri watakaozaliwa haki yake, Ya kwamba ndiye aliyeyafanya.
Sikio lisikialo, na jicho lionalo, Bwana ndiye aliyeyafanya yote mawili.
Nanyi mlifanya birika la maji katikati ya kuta mbili, la kuwekea maji ya birika la kale; lakini hamkumwangalia yeye aliyeyafanya hayo, wala kumjali yeye aliyeyatengeneza zamani.