Skip to Content

"aliyezifanya"

7 mara katika SUV

Maana miungu yote ya watu si kitu; Lakini Bwana ndiye aliyezifanya mbingu.

Hiramu akasema tena, Na ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, aliyezifanya mbingu na nchi, ambaye amempa mfalme Daudi mwana wa hekima, mwenye busara na akili, ili amjengee Bwana nyumba, na nyumba kwa ufalme wake.

Maana miungu yote ya watu si kitu, Lakini Bwana ndiye aliyezifanya mbingu.

Msaada wangu u katika Bwana, Aliyezifanya mbingu na nchi.

Msaada wetu u katika jina la Bwana, Aliyezifanya mbingu na nchi.

Aliyezifanya mbingu na nchi, Bahari na vitu vyote vilivyomo. Huishika kweli milele,

akasema kwa sauti kuu, Mcheni Mungu, na kumtukuza, kwa maana saa ya hukumu yake imekuja. Msujudieni yeye aliyezifanya mbingu na nchi na bahari na chemchemi za maji.