Lakini mwanadamu hadumu katika heshima, Bali amefanana na wanyama wapoteao.
Mwanadamu mwenye heshima, iwapo hana akili, Amefanana na wanyama wapoteao.
Binadamu amefanana na ubatili, Siku zake ni kama kivuli kipitacho.
Akawaambia, Kwa sababu hiyo, kila mwandishi mwenye elimu ya ufalme wa mbinguni amefanana na mtu mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.
Wengine wakasema, Ndiye. Wengine wakasema, La, lakini amefanana naye. Yeye mwenyewe alisema, Mimi ndiye.