Skip to Content

"amehesabiwa"

4 mara katika SUV

Nawaambia, huyu alishuka kwenda nyumbani kwake amehesabiwa haki kuliko yule; kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.

kwa sababu alikuwa amehesabiwa pamoja na sisi, akapata sehemu ya huduma hii.

kwa kuwa yeye aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.

Kwa maana huyo amehesabiwa kuwa amestahili utukufu zaidi kuliko Musa, kama vile yeye aitengenezaye nyumba alivyo na heshima zaidi ya hiyo nyumba.