Skip to Content

"ameisikia"

4 mara katika SUV

Na mtu awaye yote akifanya dhambi, kwa kuwa ameisikia sauti yenye kuapisha, naye akawa ni shahidi, kwamba aliona au kujua, asipolifunua neno lile, ndipo atakapochukua uovu wake mwenyewe;

Ondokeni kwangu, ninyi nyote mtendao uovu; Kwa kuwa Bwana ameisikia sauti ya kilio changu.

Bwana ameisikia dua yangu; Bwana atayatakabali maombi yangu.

Na ahimidiwe Bwana. Maana ameisikia sauti ya dua yangu;