Skip to Content

"amekaribia"

4 mara katika SUV

Ondokeni, twende zetuni! Tazama, yule anayenisaliti amekaribia.

Ondokeni, twendeni zetu; tazama, yule anayenisaliti amekaribia.

Hata alipokuwa amekaribia matelemko ya mlima wa Mizeituni, kundi zima la wanafunzi wake walianza kufurahi na kumsifu Mungu kwa sauti kuu, kwa ajili ya matendo yote ya uwezo waliyoyaona,

Kwa imani Yusufu, alipokuwa amekaribia mwisho wake, alitaja habari za kutoka kwao wana wa Israeli, akaagiza kwa habari ya mifupa yake.