Basi, Daudi akimwita Bwana, amekuwaje ni mwanawe?
Daudi mwenyewe asema ni Bwana; basi amekuwaje mwanawe? Na mkutano mkubwa walikuwa wakimsikiliza kwa furaha.
Basi Daudi amwita Bwana; amekuwaje mwana wake?
Hata kulipopambauka askari wakaingiwa na fadhaa nyingi, amekuwaje Petro.