2 mara katika SUV
Amemeza mali, naye atayatapika tena; Mungu atayatoa tumboni mwake.
Amemeza mauti hata milele; na Bwana MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana Bwana amenena hayo.