Skip to Content

"amenitendea"

5 mara katika SUV

Ikawa bwana wake aliposikia maneno ya mkewe aliyomwambia, akisema, Mtumwa wako amenitendea mambo kama haya, hasira yake ikawaka.

Naam, nimwimbie Bwana, Kwa kuwa amenitendea kwa ukarimu.

Bwana ahimidiwe; kwa maana amenitendea Fadhili za ajabu katika mji wenye boma.

Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamtaabisha? Amenitendea kazi njema;

Kwa kuwa Mwenye nguvu amenitendea makuu, Na jina lake ni takatifu.