Ikawa bwana wake aliposikia maneno ya mkewe aliyomwambia, akisema, Mtumwa wako amenitendea mambo kama haya, hasira yake ikawaka.
Naam, nimwimbie Bwana, Kwa kuwa amenitendea kwa ukarimu.
Bwana ahimidiwe; kwa maana amenitendea Fadhili za ajabu katika mji wenye boma.
Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamtaabisha? Amenitendea kazi njema;
Kwa kuwa Mwenye nguvu amenitendea makuu, Na jina lake ni takatifu.