3 mara katika SUV
Ibrahimu akafariki, naye akafa katika uzee mwema, mzee sana, ameshiba siku, akakusanyika kwa watu wake.
Basi Daudi alikuwa mzee, ameshiba siku; akamtawaza mwanawe Sulemani awe mfalme juu ya Israeli.
Kumcha Bwana huelekea uhai; Atakaa ameshiba; hatajiliwa na ubaya.