Skip to Content

"ametiwa"

5 mara katika SUV

Na waliposikia hao Wafilisti ya kwamba Daudi ametiwa mafuta ili awe mfalme juu ya Israeli wote, Wafilisti wote wakapanda kumtafuta Daudi; naye Daudi akasikia, akatoka nje kupigana nao.

Aliyeonewa asirejee ametiwa haya, Mnyonge na mhitaji na walisifu jina lako.

Nikaona ya kuwa ametiwa unajisi; wote wawili walifuata njia moja.

Mimi namjua Efraimu, wala Israeli hakufichwa nisimwone; maana sasa, Ee Efraimu, umefanya uzinzi; Israeli ametiwa unajisi.

Katika nyumba ya Israeli nimeona jambo bovu kabisa; huko uzinzi umeonekana katika Efraimu; Israeli ametiwa unajisi.