Skip to Content

"ameufanya"

3 mara katika SUV

Kwa kuwa yeye Bwana ameufanya huu mto wa Yordani uwe mpaka katikati ya sisi na ninyi, enyi wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, hamna fungu katika Bwana; basi hivyo wana wenu wangewakomesha wana wetu wasimche Bwana.

Kwani Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia, Naye Mwenyezi amenitaabisha;

Upainulie miguu yako palipoharibika milele; Adui ameufanya kila ubaya katika patakatifu.