Kwa kuwa yeye Bwana ameufanya huu mto wa Yordani uwe mpaka katikati ya sisi na ninyi, enyi wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, hamna fungu katika Bwana; basi hivyo wana wenu wangewakomesha wana wetu wasimche Bwana.
Kwani Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia, Naye Mwenyezi amenitaabisha;
Upainulie miguu yako palipoharibika milele; Adui ameufanya kila ubaya katika patakatifu.