Ampa mfalme wake wokovu mkuu; Amfanyia fadhili masihi
Ampa mfalme wake wokovu mkuu, Amfanyia fadhili masihi
Ni nani aliyemwinua mmoja atokaye mashariki, ambaye katika haki amemwita mguuni pake? Ampa mataifa mbele yake, na kumtawaza juu ya wafalme; awatoa wawe kama mavumbi kwa upanga wake, kama makapi yaliyopeperushwa kwa upinde wake.