Ampigaye baba yake au mama yake, sharti atauawa.
Mtu awaye yote ampigaye mtu, hata akafa, hana budi atauawa huyo.
Na mtu ampigaye mtu hata akafa, lazima atauawa;
Washindanapo waume wao kwa wao, akakaribia mke wa mmojawapo, ili kumwokoa mumewe katika mkono wa ampigaye, yule mke akatoa mkono wake, na kumkamata tupu yake;
Na alaaniwe ampigaye mwenzake kwa siri. Na watu wote waseme Amina.