Na hayawani wa nyikani watakutana na mbwa-mwitu, na beberu anamwita mwenziwe; naam, babewatoto anakaa huko na kujipatia raha.
Na baadhi yao waliohudhuria, waliposikia, walisema, Huyu anamwita Eliya.
Na baadhi yao waliosimama pale, walisema, Tazama, anamwita Eliya.