Lakini haitakuwa hivyo kwenu; bali mtu ye yote anayetaka kuwa mkubwa kwenu, na awe mtumishi wenu;
na mtu ye yote anayetaka kuwa wa kwanza kwenu na awe mtumwa wenu;
Lakini haitakuwa hivyo kwenu; bali mtu anayetaka kuwa mkubwa kwenu, atakuwa mtumishi wenu,
na mtu anayetaka kuwa wa kwanza wenu, atakuwa mtumwa wa wote.