Naam, Mungu anipatiaye kisasi, Na kuwatweza watu chini yangu,
Ndiye Mungu anipatiaye kisasi; Na kuwatiisha watu chini yangu.
Yeye anipatiaye haki yangu yu karibu; ni nani atakayeshindana nami? Na tusimame pamoja; ni nani aliye hasimu yangu? Na anikaribie basi.